Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

MTOTO AZALIWA NA UVIMBE WA MKIA KICHWANI MKOANI MARA....MSAADA WAHITAJIKA KUYAOKOA MAISHA YAKE

$
0
0
  MTOTO mchanga wa kike wa eneo la Sabasaba wilayani Tarime  Mkoa wa Mara, Maria Samwel anatakiwa kuhamishiwa katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando ya jijini Mwanza kwa ajili kuondolewa uvimbe wa ajabu uliopo kisogoni. Mganga Mfawidhi wa Wilaya, Dk. Marco Nega alimwambia  mwandishi wetu  kuwa walifikia uamuzi wa kumhamishia mtoto huyo Hospitali ya Rufaa ya Bugando baada ya kubainika kuwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>