JESHI la polisi mkoani Kilimanjaro linamshikilia kijana mwenye umri
wa miaka 15 mwanafunzi wa kidato cha pili katika shule ya sekondari
Kelamfua iliyopo wilayani Rombo baada ya kukutwa akimwingilia ndama wa
ng’ombe.
Akithibitisha, Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Kilimanjaro, Robert Boaz
alisema tukio hilo lilitokea Agosti 3 mwaka huu saa 5:10 usiku nyumbani
kwao Kelamfua.
Boaz alisema
↧