KATIBU
wa Jumuiya ya Kiislamu nchini , Shekhe Ponda Issa Ponda, alijikuta
katika wakati mgumu baada ya kuumizwa na kitu kinachodhaniwa kuwa ni
risasi kwenye bega lake la kulia wakati akiekelea katika Msikiti wa
Mungu Mmoja Dini Moja wa Mjini Morogoro baada ya kumalizika kwa
kongamano ya Dini ya Kiislamu.
Mkasa
huyo ulitokea Jumamosi Augosti 10, mwaka huu majira ya saa 12: 15 za
jioni
↧