Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

SAFARI YA FEZA KESSY ILIFIKIA TAMATI JANA USIKU NDANI YA JUMBA LA BIG BROTHER......KARIBU NYUMBANI DADA YETU

$
0
0
Hatimaye safari ya Tanzania katika Big Brother ‘The Chase’ imefikia tamati jana (August 11) baada ya mshiriki pekee aliyekuwa amesalia Feza Kessy kutolewa. Feza ambaye amefanikiwa kudumu kwenye mchezo kwa siku 77 amekuwa mshiriki wa 20 kuliaga shindano hilo huku Cleo na Dillish waliokuwa dangerzone wakibaki salama.   Feza aliyekuwa ameshikilia bendera ya Tanzania wakati wa eviction

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>