Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

MWANAMKE AMUUA MPENZI WAKE KWA KUMCHOMA MOTO AKIMTUHUMU KUWA NI MWIZI HUKO MPANDA

$
0
0
Mzozo wa wapenzi wawili usiku, umesababisha mmoja wa kike kupiga mayowe ya kumuita mwenzake mwizi, akavamiwa na watu waliompiga na kumchoma moto hadi kufa. Kisa hicho kimetokea mkazi wa Magazini mjini Mpanda mkoani Katavi, Florence Mabuga (29), ambaye baada ya kuvamiwa na watu akidhaniwa mwizi, alipigwa na kuuawa na mwili wake kuchomwa moto mbele ya nyumba yake.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>