Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAUME WA KENYA WAZIDI KUNYANYASWA.....MWAMAUME MWINGINE APIGWA VIBAYA NA MKEWE

Ni ngumu kumuona mwanaume akitokwa machozi kama hivi…. hii imetokana na mke wake kumpiga makofi hadharani kwenye mji wa Meru nchini Kenya ambapo Mwanamke huyo alikua anadai jamaa kamkana, japo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MOTO WAUA WATU WANNE WA FAMILIA MOJA JIJINI MWANZA ......BAADA YA KULA DAKU...

WATU wanne wa familia moja, wamefariki dunia na mmoja kujeruhiwa baada ya nyumba waliyokuwa wakiishi, kuteketea kwa moto usiku wa kuamkia  jana.  Ajali hiyo ilitokea eneo la Lumala Mashariki wilayani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA YAMJIBU RAIS KAGAME....YADAI IPO TAYARI KWA LOLOTE NA AKITHUBUTU...

SERIKALI ya Tanzania imeipa onyo kali nchi ya Rwanda ikiitaka isijaribu kuota ndoto za kuishambulia kijeshi, vinginevyo itajibu mapigo kwa nguvu zote na kuhakikisha kuwa imeichakaza. Kauli hiyo ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YATANGAZA VIWANGO VIPYA VYA CHINI VYA MISHAHARA KISEKTA

Serikali imetangaza viwango vipya vya chini vya mishahara kisekta ambavyo vinatofautiana kati ya sekta moja na nyingine ambavyo ni kuanzia Sh40,000 hadi Sh400,000 kwa mwezi kuanzia Julai Mosi mwaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"KILA MTANZANIA NI LAZIMA ALIPIE SH. 1000 KWA AJILI YA KADI YA SIMU...

 SERIKALI imesisitiza kuwa itatoza Sh 1,000 kwa kila kadi ya simu inayotumika lakini pia inaangalia utaratibu wa kufanya makato hayo kwa njia ambayo haitamuumiza mtumiaji wa simu. Akizungumza jana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO YA WEMA SEPETU AKIPIGWA MATE YAVUJA.....

  Video inayomuonesha staa wa filamu Bongo, Wema Sepetu akidendeka na mwanaume imevuja mtandaoni... Haikuweza kufahamika mara moja lengo la Wema na mwanaume huyo aliyefahamika kwa jina la Aidany...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"NAOLEWA KWA AJILI YA STAREHE ZA MAPENZI NA SI KWA AJILI YA KUZAA"...NATASHA...

MWIGIZAJI mkongwe wa maigizo na filamu Bongo, Suzan Lewis ‘Natasha’ ambaye pia ni mtangazaji wa Radio Times FM, anayetarajia kufunga ndoa kesho, amefunguka kuwa anaoelewa kwa ajili ya kustarehe na siyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASHABIKI WAMVAA PREZZO BAADA YA KUMPONDA MSANII DIAMOND WA TANZANIA

Msanni Prezzo wa Kenya  atakuwa amepata sample ya majibu ya baadhi ya fans wake ambao wengi ni wakenya baada ya kumdiss Diamond Platinumz wa Tanzania kupitia akaunti yake ya twitter July 10. Sample ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

IRENE UWOYA ALIA NA ULIMBUKENI WA PENZI LA MSANII DIAMOND.....

 Kufuatia kuripotiwa kwa habari   iliyopewa kichwa "DIAMOND AFICHUA KISA CHA KULALA NA UWOYA!" , mwanadada  Irene Uwoya  ameamua  kuvunja  ukimya  na  kueleza  dukuduku lake la moyoni.... Habari  hiyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

"RED BRIGADE YA CHADEMA NI KUNDI LA KIGAIDI"....MWIGULU NCHEMBA

Watanzania wenzangu, Ni dhahiri kumekuwa na mijadala kadha wa kadha kuhusu vyama vya siasa kuwa na vijana wao wa kuwa linda.  Nilionesha tofauti baina ya red brigade na greenguard. Wanaojitetea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MADHARA YA FANGASI SEHEMU ZA SIRI....

Katika makala zetu ya maradhi ya ngozi tumeangalia maradhi ya ngozi yanayosababishwa na fangasi. Leo tuangalie fangasi wanaoshambulia sehemu za siri, yaani Tinea cruris.  Fangasi wa maungo ya siri...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JESHI LA POLISI LATEUA ASKARI WA KUMFUATA AGNESS MASOGANGE ALIYENASWA NA...

Jeshi la Polisi litapeleka askari wake Afrika Kusini kuwahoji washiriki wa video za wasanii wa muziki wa Bongo fleva, Agnes Gerald ‘Masogange’ na mwenzake Melisa Edward waliokamatwa nchini humo na dawa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"WAPINZANI BADO NI WACHANGA SANA KUWARUHUSU WAINGIE IKULU"... MKAPA

RAIS mstaafu, Benjamin William Mkapa, ameonyesha wazi kutoridhishwa na mwenendo wa matukio ya uvunjifu wa amani hivi sasa.  Mkapa, mmoja wa viongozi ambao wanajiamini katika kauli zao, amewataka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BABU ANAYETAKA KUMFUFUA MWALIMU NYERERE AGEUKA GUMZO

Mzee (pichani) aliyeibuka hivi karibuni akidai kuwa ana uwezo wa kumfufua Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere amezua gumzo.  Babu huyo aliibuka katika studio za Kyera FM huko mkoani Mbeya akihitaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"RED BRIGED NI LAZIMA IANZISHWE...MBONA CCM NA CUF WANA KUNDI LAO?"...CHADEMA

  SINGO BENSON Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema hakitarudi nyuma katika mpango wa kutoa mafunzo ya ukakamavu kupitia kikundi chake cha red brigade. Chama hicho kimesema, tayari...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MPENZI WA NAY WA MITEGO AIPOTEZA MIMBA YAKE BAADA YA KUANGUKA

Rapper Nay wa Mitego leo anasherehekea siku ya kuzaliwa ya mchumba wake aliyekuwa mjamzito kwa huzuni kubwa baada ya mchumba wake huyo kukipoteza kichanga chao kufuatia kuanguka jana usiku. “Jana usiku...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA YABEBA KATA ZOTE NNE ZA ARUSHA

Uchaguzi uliofanyika jana  Jumapili, Julai 14, 2013 wa kuwapata madiwani wa Kata Nne --Themi, Kaloleni, Kimandolu na Elerai-- za mkoani Arusha umemalizika.Huku Tume ya Uchaguzi ikisubiriwa kuwatangaza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BINTI KIZIWI ATUPWA JELA MIAKA MITANO BAADA YA KUNASWA NA MADAWA YA KULEVYA

MTANDAO wa wauza madawa ya kulevya unazidi kupukutika Bongo kufuatia madai ya kukamatwa kwa watu wanaodaiwa kujishughulisha na ubebaji ‘punda’ wa biashara hiyo haramu. Hivi karibuni, Video Queen wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JOHN TENDWA AZUNGUMZIA KWA VYAMA VYA SIASA

OFISI  ya Msajili  wa  Vyama Vya Siasa  nchini imevitaka  vyama vya siasa kutii agizo la kutoanzisha kambi za mafunzo ya kulinda amani maarufu kwa jina la mgambo , huku ikisisitiza kwamba itachukua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMKO LA RAIS KIKWETE KUHUSU VIFO VYA WANAJESHI 7 SUDANI

Tamko la Rais na Amiri Jeshi Mkuu kuhusu tukio la DarfurRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameshtushwa na kuhuzunishwa...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>