Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

MOTO WAUA WATU WANNE WA FAMILIA MOJA JIJINI MWANZA ......BAADA YA KULA DAKU WALISAHAU KUZIMA JIKO

$
0
0
WATU wanne wa familia moja, wamefariki dunia na mmoja kujeruhiwa baada ya nyumba waliyokuwa wakiishi, kuteketea kwa moto usiku wa kuamkia  jana.  Ajali hiyo ilitokea eneo la Lumala Mashariki wilayani Ilemela na ilitokana na jiko la mafuta, ambalo halikuzimwa baada ya wanafamilia hao kula daku usiku; matokeo yake, lililipuka alfajiri. Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza,

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>