SERIKALI ya Tanzania imeipa onyo kali nchi ya Rwanda ikiitaka
isijaribu kuota ndoto za kuishambulia kijeshi, vinginevyo itajibu mapigo
kwa nguvu zote na kuhakikisha kuwa imeichakaza.
Kauli hiyo ya kwanza nzito imetolewa jana na Wizara ya Mambo ya Nje ya
Ushirikiano wa Kimataifa kufuatia taarifa ya matamshi makali
yanayodaiwa kutolewa na Rais Paul Kagame wa Rwanda, dhidi ya Rais Jakaya
↧