Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AGNESS MASOGANGE AKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA AFRIKA KUSINI

  HATIMAYE  wale Wanawake wawili walionaswa  na  madawa ya  kulevya  Afrika  kusini wametambuliwa kuwa  ni  mabinti  wa  KITANZANIA .. Mabinti  hao  wanadaiwa kuingiza shehena ya dawa za kulevya zenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHANZO CHA KULEGEA KWA MISULI YA SEHEMU ZA SIRI ZA WANAWAKE ......( USHAURI...

Tatizo la kulegea kwa misuli ya sehemu za siri za mwanamke au kitaalamu Vaginal prolapsed  huwatokea zaidi wanawake wenye umri mkubwa ingawa pia linaweza kuwakumba hata wenye umri mdogo....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATOTO WAWILI WALIOKUWA WAMEPELEKWA "JANDONI" WAMEFARIKI WA AJALI YA MOTO...

 Lindi- Watoto wawili wamekufa na mmoja wao kunusurika mauti, baada ya kuungua kwa moto uliosababishwa na kibatari kilichounguza nyasi za kijumba walichokuwemo.Kaimu Kamanda wa Mkoa wa Lindi, Renata...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"JACK WOLPER ANATAFUTA UMAARUFU KUPITIA JINA LANGU....KAMA SANAA IMEMSHINDA...

MWIGIZAJI wa kike na mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya Baby Madaha Joseph amemshukia mwigizaji mwenzake wa kike Jack Wolper kwa kudai kuwa amekuwa akitumia vyombo vya habari kumsema na baadae...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUYO NDO "MELLIS EDWARD" ALIYEKAMTWA NA MADAWA YA KULEVYA AKIWA NA "AGNESS...

Picha  ya  Mrembo Mellis Edward  aliyedakwa  na  madawa  ya  kulevya  Afrika  kusini  akiwa  na  Agness Masogange Mellis Edward Inahisiwa kuwa  huyu mwanamke wa pili aliyetajwa na Kamanda Nzowa kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA YAJIPANGA KUIMARISHA KITENGO CHA ULINZI NA USALAMA " RED BRIGADE" ILI...

MUHTASARI Ili kukabiliana na vitendo vya fujo vinavyofanywa na vijana wa CCM dhidi ya wagombea, Wanachama na viongozi wa CHADEMA, Kamati Kuu imeagiza kwamba kitengo cha ulinzi cha Chama “Red Brigade”...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"NASUBIRI WAKATI MWAFAKA WA KUMUONYESHA KIKWETE YA KWAMBA MIMI NI...

Nikiwa  katika  upekuzi  wangu, nimeshtushwa sana na kauli za  KIHUNI  za Rais  Paul Kagame  dhidi ya  Rais wetu Kikwete na nchi yetu kwa ujumla.... Rais Kikwete ameepuka malumbano na Kagame kwa  kukaa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZITTO KABWE AWATAKA WANANCHI WAGOME KUILIPA KODI YA SIMU YA SH....

Sakata  la  kodi  ya  line  ya  simu  limeendelea  kuwakuna wanasiasa  wetu  ambao  wamekuwa  wakifunguka  kwa  nyakati  mbalimbali  kupitia mitandao  ya  kijamii.... Baada  ya  January  Makamba, Zitto...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

"NITAENDELEA KUPAMBANA NA WABISHI WASIOTAKA KUHAMA ILI KUPISHA MIRADI YA...

WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli ameapa kupambana kwa kuwabomolea au kuwakomesha kwa njia nyingine, watu waliogoma kuhama kwa ajili ya kupisha miradi mbalimbali ya ujenzi inayotekelezwa na wizara...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

"VYOMBO VYA HABARI HUWA VINAHONGWA NA WAPINZANI ILI VIWAANDIKE...

Spika wa Bunge, Anne Makinda, ameibuka na kauli yenye utata mkubwa akivituhumu vyombo vya habari kwamba vinahongwa na wabunge wa kambi ya upinzani ili viandike habari zao vizuri. Bila kufafanua ni kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO- 2013

<!-- adsense -->    Muhula wa kwanza kwa wanafunzi wa Kidato cha Tano kuanzia mwaka huu 2013 itaanza mwezi Julai.  Wanafunzi wamepangwa katika shule zenye miundombinu na walimu kwa masomo husika....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMA MZAZI WA PROFESA JAY AGONGWA NA GARI NA KUFARIKI DUNIA....

Picha kushoto ni Profesa J akiwa na mama yake mzazi Bi Rosemary Majanjara Haule enzi za uhai wake...   Mama  mzazi  wa  Msanii Profesa Jay  amefariki dunia  usiku  wa  kuamkia  leo  baada  ya  kugongwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMA AJIFUNGUA MTOTO ANAYEFANANA NA NYANI.....

<!-- adsense -->    Mwanamke  mmoja  amejikuta  akimwaga  machozi  baada  ya  kumpoteza  mwanaye  dakika  chache  baada  ya  kujifungua.... Tukio  hilo  lilitokea  siku  ya  jumatatu  katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AWASHANGAA CHADEMA KUTAKA KAMBI YA KUJILINDA...DR. SLAA NAYE...

Rais wa Tanzania amewashangaa na kuwalaani CHADEMA kwa kutangaza kufundisha vijana namna ya kujilinda na kusema kuwa ni watu wa ajabu kama wamefikia huko. Mh. Rais kayasema hayo katika kuhitimisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIJANA WAVUA NGUO NA KUCHEZA UCHI WAKIFURAHIA WIMBO WA MADEE " NANI KAMWAGA...

<!-- adsense -->   Katika  hali  ya  kushangaza, vijana  wanne  waliamua  kuvua  nguo  zote  na  kucheza  uchi  wakifurahia  wimbo  wa  "NANI  KAMWAGA  POMBE  YANGU" VIDEO  YAO: <<BOFYA...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAMKE AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIAKA MITANO JELA BAADA YA KUMTUPA MTOTO WAKE...

Mwanamke mmoja mkazi wa Manga A Jijini Mbeya amehukumiwa kifungo cha miaka 5 jela kwa kosa la kutupa mtoto wake chooni. Tukio hilo lilitokea Juni 14, Mwaka huu katika eneo hilo baada ya watoto...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PREZZO AMPONDA DIAMOND....

Majigambo ya Diamond kwenye vyombo vya habari kabla ya Tamasha la Matumaini kufanyika kuhusu kumgalagaza Prezzo kwenye show hiyo hayajampendeza Rapcellency na sasa ameamua kujibu. Prezzo ambaye jina...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PAJA LA WEMA SEPETU LAFANANISHWA NA NGOZI YA "KITI MOTO"

 Baada  ya  mtandao  huu kutupia  picha  ya  paja la wema  sepetu  na   kuelezea  jinsi  lilivyoharibiwa  na  MIKOROGO, wadau  mbali mbali  wamekuwa  wakitoa  maoni  yao  na  kudai  kuwa  Ngozi  ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIVA WA CLOUDS FM AJIPIGA TATOO YA KICHINA KIUNONI...

Katika  kile  kinachotafsriwa  kuwa  ni  harakati  za  kulimwagilia  maji  na  marashi  penzi  lake  kwa  prezzo, Diva  wa  clouds fm  sasa  ameamua  kujipiga TATOO YA  KICHINA  kiunoni  ili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MENGI AELEZA UHUSIANO WA RUSHWA NA DAWA ZA KULEVYA.....

MMOJA wa wafanyabiashara maarufu nchini, Dk Reginald Mengi amesema kwamba huwezi kutofautisha watoa rushwa wakubwa na mlipuko wa dawa za kulevya, ambayo kwa sasa yanatikisa nchi. Dk mengi ameyasema...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>