Spika wa Bunge, Anne Makinda, ameibuka na kauli yenye utata mkubwa
akivituhumu vyombo vya habari kwamba vinahongwa na wabunge wa kambi ya
upinzani ili viandike habari zao vizuri.
Bila kufafanua ni kwa jinsi gani wabunge hao wanatoa hongo hiyo mbali tu
ya kusema wanatoa kitu kidogo ili waandikwe vizuri, pia alikana
kuwakandamiza wabunge wa kambi hiyo na kuwabeba wale wa Chama Cha
↧