Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BINTI ABAKWA NA KUCHOMEKWA MIWA SEHEMU ZA SIRI

Mdada mwenye miaka 9  mkazi wa kijiji kimoja nchini brazil,mapema wikiendi  hii amebakwa karibu na shamba la miwa na watu wanaoaminika kuwa ni watumiaji wa madawa ya kulevya...  Baada  ya  kumbaka,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ODAMA AWAJIBU WANAOMTUHUMU KUZIFANYIA " PHOTOSHOP " PICHA ZAKE NA KUDANGANYA...

Baada ya kuzagaa kwa habari zikimtumu mwanadada wa filamu Tanzania Jennifer Kyaka aka Odama kwamba huzifanyia makeke ya photoshop picha zake na kuwadanganya wananchi kuwa amezipigia Ulaya, ameongea na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBOWE ATIWA MBARONI NA KUHOJIWA KWA TUHUMA ZA UCHOCHEZI

MWENYEKITI wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa madai ya kutoa kauli za uchochezi dhidi ya jeshi hilo, vyombo vya dola na serikali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAJESHI WENGINE WATATU WA TANZANIA WAFARIKI DUNIA HUKO SUDANI, MAPIGANO...

WINGU zito limetanda kwa askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), katika nchi za Sudani Kusini na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).    Wakati Watanzania wakiendelea kuomboleza vifo vya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DALADALA YANUSURIKA KUINGIA BUCHANI MWENGE

Daladala lenye namba za usajili T 741 AEG baada ya kuhama njia na kuparamia mtaro uliopo jirani na bucha eneo la Mwenge. Daladala lenye namba za usajili T 741 AEG linalofanya safari zake kati ya Temeke...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HATIMAYE LUDOVICK JOSEPH NAYE AACHIWA KWA DHAMANA

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemwachia kwa dhamana Ludovick Joseph anayeshitakiwa pamoja na Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chadema Wilfred Lwakatare, baada ya kusota rumande kwa zaidi ya miezi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DRC NI UWANJA WA VITA KATI YA TANZANIA NA RWANDA ( PROX WAR)

PROX  WAR  au Proxy Warfare ni vita inayopiganwa kwa kupitia sehemu nyingine. Katika vita 'ya kawaida' mapigano huwa kati ya nchi na nchi.Kwa mfano, Vita ya Kagera ilkuwa kati ya Tanzania na Uganda, na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UKATILI: VIDEO YA MATESO YA KIJANA MWIZI AKISULUBIWA NA WANAKIJIJI BAADA YA...

<!-- adsense --> Huyu  ni  mwizi  aliyenaswa  na  wanakijiji    nchini  Uganda  akijaribu    kuvunja  dirisha  la  nyumba  ili  aibe.... Wanakijiji  walipomnasa  walianza  kwa  kumpa  kichapo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AUNT EZEKIEL AMTOSA MUMEWE

Wengi  walitegemea  kuwa  Aunt  Ezekiel ataungana  na  mumewe Sunday  katika  kipindi  hiki  cha  mwezi  mtukufu wa Ramadhani  lakini  hali  imekuwa  ni  tofauti.... Aunt  anayetumia  jina  la  Rahma...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO: ILI UWE MWALIMU NI LAZIMA UWE "BAUNSA" KIASI HIKI??

Mwalimu  akitumia  nguvu  ya  ziada  kuwakabili  wanafunzi  waliokuwa  wamechelewa  kuingia darasani... Haijaweza  kufahamika  mara  moja  kuhusu  mahali  ilipo  shule  hii

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA: WANAJESHI WA TANZANIA WALIO UAWA DARFUL WAAGWA

 Capt. John Kivunge, a Tanzanian Staff Officer with JOC, reads a program of the brief ceremony. Prayers from a chaplain.Prayers from an Imam for the fallen peacekeepers. Military salute as the 'Last...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS OMARI AL BASHIR WA SUDANI ATOROKA NIGERIA BAADA MBINU ZA KUMKAMATA KUVUJA

Rais  Omari Al Bashir  wa  Sudan  jana  alilazimika  kutoroka  nchini    Nigeria  baada  ya  mikakati  ya  kumkamata  kuvuja.. Rais Bashir aliyekuwa  anahudhuria mkutano wa viongozi wa serikali za nchi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WITO WA KUPINGA KODI YA LAINI YA SIMU KILA MWEZI KUFUATIA MABADILIKO YA...

<!-- adsense -->  Sisi wananchi hatujashirikishwa kupitia mjadala wa Bunge kuhusu kodi hii kwani Waziri wa fedha hakusoma hiki kipengele wakati wa hotuba yake na tulikosa taarifa mpaka baada ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAJI MSTAAFU WA MAHAKAMA KUU YA TANZANIA , BUXTON CHIPETA AFARIKI DUNIA

Jaji Buxton Chipeta. Habari zilizotufikia hivi punde zinasema kwamba Jaji mstaafu wa Mahakama Kuu Tanzania, Buxton Chipeta amefariki dunia muda mfupi uliopita. Kwa mujibu wa mmoja wa wanafamilia, Jaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWEZI WA RAMADHANI WAMFANYA WEMA ABADILIKE TENA

KUFUATIA Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, staa wa Filamu za Kibongo, Wema Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ au maarufu kama Madam amebadilika na kuondoa vitu vyote visivyo vya asili mwilini mwake.  Wema alitupia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

"NIMECHOSHWA NA WANAUME MASHAROBARO WA TANZANIA....BORA WANIGERIA WANAJUA...

Mlimbwende  aliyewahi kung’ara katika Shindano la Miss Kiswahili 2009, Rehema Fabian anadaiwa kuangukia kimapenzi kwa mtoto wa Balozi wa Nigeria nchini China aliyemtaja kwa jina moja la Allen anayetaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"SIWEZI KUMUOMBA MSAMAHA DIAMOND KWENYE TWITTER"...PREZZO

Rapcellency, Prezzo amesema hawezi kumuomba msamaha Diamond kwenye Twitter kwakuwa anaamini hakuna alichomkosea na ni jambo la kitoto. Akiongea jana  mchana kwenye kipindi cha Mambo Mseto cha Radio...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAJI AJITOA KUENDESHA KESI YA MAUAJI YA PADRI MUSHI

Kesi ya mauaji ya Padri Evarist Mushi imechukua sura mpya, kufuatia Jaji wa Mahakama kuu ya Zanzibar, Mkusa Isaac Sepetu kujitoa baada ya upande wa utetezi kuwasilisha ombi la mshatikiwa Omar Mussa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAPE AKWEPA KUZUNGUMZIA MATOKEO UDIWANI ARUSHA..."WAULIZENI VIONGOZI WA CCM...

Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi na Uenezi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi na Uenezi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, amesema...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KWA NINI CCM IKIHOFIE CHADEMA??

TANGU kuanzishwa kwa vyama vingi nchini mwaka 1992, tayari chaguzi nne zinazoshirikisha vyama vingi zimefanyika.  Katika chaguzi hizo nne, Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimeendelea kushika dola kwa...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>