Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi na Uenezi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye
Katibu
wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi na Uenezi ya Chama Cha Mapinduzi
(CCM), Nape Nnauye, amesema wanaopaswa kuulizwa jambo lolote linalohusu
uchaguzi wa udiwani wa kata nne uliofanyika Jumapili wiki iliyopita,
jijini Arusha, ni viongozi wa chama wa mkoa huo.
Nape alisema
↧