TANGU kuanzishwa kwa vyama vingi nchini mwaka 1992, tayari chaguzi nne
zinazoshirikisha vyama vingi zimefanyika.
Katika chaguzi hizo nne, Chama
Cha Mapinduzi (CCM), kimeendelea kushika dola kwa ushindi wa kishindo
katika kiti cha urais, wabunge na madiwani.
Ushindi huu wa kishindo
umeendelea kupungua kutoka ngazi ya ubunge na udiwani, ambapo wapinzani
wamekuwa wakinyakua viti vya
↧