MWENYEKITI wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma,
Laurent Hoya, amefariki dunia ghafla jana alfajiri baada ya kuanguka
chooni. Kifo hicho kimetokea nyumbani kwa marehemu Nkuhungu katika
Manispaa ya Dodoma.
Akizungumza na mwandishi wa habari hizi jana, Mkuu wa Wilaya ya
Chamwino, Fatma Ally alisema Hoya ambaye alikuwa na tatizo la ugonjwa wa
moyo, alianguka chooni jana
↧