Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

JAJI AJITOA KUENDESHA KESI YA MAUAJI YA PADRI MUSHI

$
0
0
Kesi ya mauaji ya Padri Evarist Mushi imechukua sura mpya, kufuatia Jaji wa Mahakama kuu ya Zanzibar, Mkusa Isaac Sepetu kujitoa baada ya upande wa utetezi kuwasilisha ombi la mshatikiwa Omar Mussa Makame kutokuwa na imani naye.Akisoma uamuzi baada ya kupokea maombi ya upande wa utetezi, ambayo yaliwasilishwa Julai 2 mwaka huu, Jaji Mkusa amesema kwamba uamuzi wa mshtakiwa ni haki yake

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>