Rais Omari Al Bashir wa Sudan jana alilazimika kutoroka nchini Nigeria baada ya mikakati ya kumkamata kuvuja..
Rais Bashir aliyekuwa anahudhuria mkutano wa viongozi wa serikali za nchi za Muungano wa Afrika AU, kuhusu afya mjini Abuja amelezimika kuukatisha mkutano huo na kutoroka nchini humo jana Jumatatu kwa hofu ya kukamatwa
Rais huyo
↧