MWENYEKITI wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),
Freeman Mbowe, anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa madai ya kutoa kauli
za uchochezi dhidi ya jeshi hilo, vyombo vya dola na serikali kwa
ujumla.
Taarifa ya jeshi hilo iliyotolewa na Msemaji wake, Mrakibu Mwandamizi,
Advera Senso, imesema kuwa Mbowe amekuwa akitoa kauli ambazo zimekuwa
na mlengo wa uchochezi na
↧