Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

MWEZI WA RAMADHANI WAMFANYA WEMA ABADILIKE TENA

$
0
0
KUFUATIA Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, staa wa Filamu za Kibongo, Wema Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ au maarufu kama Madam amebadilika na kuondoa vitu vyote visivyo vya asili mwilini mwake.  Wema alitupia picha yake kwenye mtandao wa kijamii akionekana amekata nywele zote huku akiwa ameondoa kope za bandia na kutoa kucha alizobandika kuashiria kuuheshimu mwezi huu huku akibaki na kila kitu

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles