SERIKALI imesisitiza kuwa itatoza Sh
1,000 kwa kila kadi ya simu inayotumika lakini pia inaangalia utaratibu
wa kufanya makato hayo kwa njia ambayo haitamuumiza mtumiaji wa simu.
Akizungumza jana jijini Dar es salaam,
Waziri wa Fedha,Dk William Mgimwa alisema kuwa kupitia tozo hizo
wanatarajia kukusanya Sh bilioni 160 kwa mwaka.
“Kupitia wawakilishi wenu na sisi
serikali
↧