Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Serikali yahimizwa kuhamishia makao makuu Dodoma

SERIKALI imesisitiza agizo lake la kusitisha ujenzi wa ofisi za wizara na taasisi zake katika jiji la Dar es Salaam badala yake uelekezwe mjini Dodoma, ikiwa ni hatua ya kuhamishia makao makuu mjini...

View Article


Wafanyabishara Mwanza waazimia kugoma siku za kesi ya Mwenyekiti wao

Siku chache baada ya mwenyekiti wa jumuiya ya wafanyabiashara Tanzania Johnson Minja kufikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi wilaya ya Dodoma akikabiliwa na kesi ya kudaiwa kushawishi...

View Article


Afisa Elimu Mbinga avuliwa madaraka

BARAZA la madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma limemvua madaraka afisa elimu msingi wa wilaya hiyo Daniel Mkali baada ya kufanyiwa uchunguzi kwa muda kwa tuhuma mbalimbali...

View Article

Bunge lataka mawaziri wazembe wawajibike

Baadhi ya wabunge wamechachamaa na kuwashukia baadhi ya mawaziri na watendaji wa serikali kwa kuzembea katika utendaji wao jambo linalosababisha upotevu wa mabilioni ya shilingi na kulisababishia...

View Article

Mume Amcharanga Mapanga Mkewe, kisa Kachelewa Kupata Ujauzito

Mtu mmoja mwanamume, aliyetajwa kwa jina la John Weghai amemjeruhi vibaya mke wake, Anastazia John (18) kwa kumkatakata na mapanga kwa kile kinachodaiwa kuchelewa kwake kupata ujauzito, katika maisha...

View Article


Unyama: Mume Amchinja Kikatili Mkewe ndani ya Hoteli jijini Dar......Ampasua...

Huu ni ukatili namba moja kwa wanandoa duniani! Bado picha haijatoka kichwani kwa wakazi wa Manzese jijini Dar kufuatia kifo cha kuchinjwa cha  Josephine Ndengaleo Mushi kinachodaiwa kufanywa na mume...

View Article

Mahakama ya Kadhi bado "pasua kichwa"

Umoja wa Wainjilisti wa Kikisto Tanzania (Uwakita), umemtaka Waziri Mkuu, Mizengo Pinda (pichani) kuuondoa Muswada wa Mabadiliko ya Sheria vinginevyo utazunguka nchi nzima kuwahamasisha waumini wake...

View Article

Kituo kingine cha polisi chavamiwa.....Majambazi Yapora Bunduki, Risasi 30 na...

Kundi la watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi, wamevamia na kuvunja stoo ya Kituo kidogo cha Polisi Mngeta, Kilombero na kuiba bunduki aina ya SMG ikiwa na risasi 30.   Majambazi hao pia wanadaiwa...

View Article


Serikali: "Tanesco haiwezi kushusha bei kwa sasa"

KUSHUKA kwa bei ya mafuta katika soko la dunia hakujawapa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) unafuu wa kuwafanya washushe bei ya umeme.   Aidha, serikali imesema haifumbii macho suala hilo na...

View Article


Wajawazito wajifungulia sakafuni kijiji cha Msisi-Dodoma

WAJAWAZITO katika Kijiji cha Msisi wilayani Bahi, mkoani Dodoma wanajifungulia sakafuni kwenye jengo la wazi, hali inayosababisha kukosa faragha.   Kutokana na kadhia hiyo, Mkuu wa Wilaya hiyo, Betty...

View Article

Kupe Wakubwa Watumika kukabiliana na Ukeketaji

Wanawake  wa Kimasai wanaopinga suala la tohara kwa watoto wamegundua njia nyingine ya kukabiliana na ukeketaji kwa kutumia kupe wakubwa. Hayo yalielezwa katika warsha ya kujipanga kupokea mradi wa...

View Article

Fedha Zakwamisha kukamilika Mradi wa DART

Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka Dar es Salaam (DART) unakabiliwa na changamoto ya kifedha katika ujenzi wa miundombinu,  kutokana na ongezeko la mahitaji ya fedha za kuukamilisha. Bunge lilielezwa...

View Article

Kipindupindu chaua Watano Kigoma, 170 Taabani

Mlipuko wa kipindupindu ulioukumba mkoa wa Kigoma, umesababisha vifo vya watu watano, huku wengine zaidi ya 170 wakilazwa hospitalini. Hayo yalithibitishwa mjini hapa na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Kigoma,...

View Article


Bei ya MAFUTA Yazidi Kuporomoka

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza kushuka zaidi kwa bei za bidhaa za mafuta hapa nchini kuanzia leo, kutokana na bei katika soko la dunia kuendelea kuporomoka. Mwezi...

View Article

Bunge Lamshambulia Mkurugenzi wa Mashitaka Nchini (DPP) kwa kukwamisha Juhudi...

Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka Nchini (DPP) imetajwa kudhoofisha juhudi za Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), kutokana na ama kuchelewesha au kutokutoa vibali vya kufikisha...

View Article


Mwanasheria Mkuu wa Serikali amesema Mahakama ya Kadhi itakayoanzishwa...

Mwanasheria mkuu wa serikali Mh. George Masaju amesema mahakama ya kadhi itakayoanzishwa kisheria haitahudumiwa na serikali na itakuwa ya hiari kwa waumini wa dini ya kiislamu watakaoiridhia katika...

View Article

Polisi Tabora yamkamata mtuhumiwa sugu wa Ujambazi

Jeshi la polisi mkoani Tabora limefanikiwa kumkamata mtuhumiwa wa matukio ya uhalifu katika kata ya Ngambo manispaa ya Tabora, akiwa na risasi 356 za silaha za SMG/SAR, zinazosadikiwa kuwa, zilikuwa...

View Article


Shamsa Achukia Kuitwa Mshamba

Mrembo na mwigizaji wa filamu, Shamsa Ford amewabwatukia baadhi ya watu ambao wanapenda kumsema kuwa yeye ni mshamba kwa kushindwa kutoka misele nyakati za usiku.   Akizungumza na GPL, Shamsa alisema...

View Article

Rais Kikwete Afichua SIRI Kipigo cha Lipumba.....Asema sheria za nchi lazima...

SIKU chache baada ya Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba na wafuasi wake kupigwa na polisi, Rais Jakaya Kikwete amesema tukio hilo limetokea kwa sababu nchi inaongozwa kwa...

View Article

Rugemalira wa IPTL sasa ‘mikononi’ mwa Takukuru

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imesema imemhoji na inaendelea kumchunguza mmiliki mwenza wa zamani wa Kampuni ya Kufua Umeme ya Independent Power Tanzania Ltd (IPTL), James...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>