Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kipindupindu chaua Watano Kigoma, 170 Taabani

$
0
0
Mlipuko wa kipindupindu ulioukumba mkoa wa Kigoma, umesababisha vifo vya watu watano, huku wengine zaidi ya 170 wakilazwa hospitalini. Hayo yalithibitishwa mjini hapa na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Leonard Subi (pichani) akisema Manispaa ya Kigoma/Ujiji imeathirika kwa kiasi kikubwa na ugonjwa huo, na kwamba tayari hatua mbalimbali zimechukuliwa kukabiliana na hali hiyo.   Alisema

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>