Mtu mmoja mwanamume, aliyetajwa kwa jina la John
Weghai amemjeruhi vibaya mke wake, Anastazia John (18) kwa kumkatakata
na mapanga kwa kile kinachodaiwa kuchelewa kwake kupata ujauzito, katika
maisha ya wawili hao waliyoanza Februari mwaka jana.
Tukio hilo la kinyama lilitokea katika Kijiji cha Mariba, Kata ya
Mriba, wilayani Tarime mkoani Mara na majeruhi huyo amelazwa katika
↧