Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Unyama: Mume Amchinja Kikatili Mkewe ndani ya Hoteli jijini Dar......Ampasua mbavu na kutoa maini na Moyo

$
0
0
Huu ni ukatili namba moja kwa wanandoa duniani! Bado picha haijatoka kichwani kwa wakazi wa Manzese jijini Dar kufuatia kifo cha kuchinjwa cha  Josephine Ndengaleo Mushi kinachodaiwa kufanywa na mume wake wa ndoa, Remy Joseph (35). Tukio hilo la kutisha kusimuliwa achilia mbali kuona, lilijiri saa 9: 10 alasiri ya Januari 29, mwaka huu ndani ya chumba kimoja kilichopo ghorofa ya pili ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles