Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Bunge lataka mawaziri wazembe wawajibike

$
0
0
Baadhi ya wabunge wamechachamaa na kuwashukia baadhi ya mawaziri na watendaji wa serikali kwa kuzembea katika utendaji wao jambo linalosababisha upotevu wa mabilioni ya shilingi na kulisababishia taifa hasara. Wabunge hao wameongeza pia kuwa umasikini na ugumu wa maisha kwa wananchi kwa kuongezewa kodi na tozo mbalimbali kunasababishwa na uzembe wa viongozi wachache wa serikalini.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>