Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Bunge Lamshambulia Mkurugenzi wa Mashitaka Nchini (DPP) kwa kukwamisha Juhudi za TAKUKURU

$
0
0
Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka Nchini (DPP) imetajwa kudhoofisha juhudi za Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), kutokana na ama kuchelewesha au kutokutoa vibali vya kufikisha mahakamani kesi kwa makosa makubwa ya rushwa. Bunge limeambiwa kwamba gharama nyingi za serikali, zimekuwa zikitumika katika kufanya uchunguzi wa tuhuma za rushwa, lakini majalada yanapowasilishwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>