Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mwanasheria Mkuu wa Serikali amesema Mahakama ya Kadhi itakayoanzishwa Kisheria haitahudumiwa na Serikali.

$
0
0
Mwanasheria mkuu wa serikali Mh. George Masaju amesema mahakama ya kadhi itakayoanzishwa kisheria haitahudumiwa na serikali na itakuwa ya hiari kwa waumini wa dini ya kiislamu watakaoiridhia katika masuala ya ndoa, talaka, mirathi pamoja na wakfu na kutaka wanasiasa kuacha kukuza mijadala ya suala hilo kwa maslahi yao binafsi.   Akizungumza katika mahojiano maalum na vyombo vya habari

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>