Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Polisi Tabora yamkamata mtuhumiwa sugu wa Ujambazi

$
0
0
Jeshi la polisi mkoani Tabora limefanikiwa kumkamata mtuhumiwa wa matukio ya uhalifu katika kata ya Ngambo manispaa ya Tabora, akiwa na risasi 356 za silaha za SMG/SAR, zinazosadikiwa kuwa, zilikuwa zitumike, katika matukio ya  uharifu katika mikoa ya Tabora, Kigoma, Mbeya, na Njombe.   Kaimu kamanda wa polisi mkoani Tabora ACP Juma Bwire amemtaja mtuhumiwa huyo kwa jina la Warfram

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>