Jeshi
la polisi mkoani Tabora limefanikiwa kumkamata mtuhumiwa wa matukio ya
uhalifu katika kata ya Ngambo manispaa ya Tabora, akiwa na risasi 356 za
silaha za SMG/SAR, zinazosadikiwa kuwa, zilikuwa zitumike, katika
matukio ya uharifu katika mikoa ya Tabora, Kigoma, Mbeya, na Njombe.
Kaimu kamanda wa polisi mkoani Tabora ACP Juma Bwire amemtaja
mtuhumiwa huyo kwa jina la Warfram
↧