Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kituo kingine cha polisi chavamiwa.....Majambazi Yapora Bunduki, Risasi 30 na vitu vingine kibao

$
0
0
Kundi la watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi, wamevamia na kuvunja stoo ya Kituo kidogo cha Polisi Mngeta, Kilombero na kuiba bunduki aina ya SMG ikiwa na risasi 30.   Majambazi hao pia wanadaiwa kuiba jenereta, redio, viti, betri ya gari na spika ya redio.   Akizunguzia tukio hilo jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Leonard Paul alisema uporaji huo ulitokea usiku wa Februari

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>