Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Serikali: "Tanesco haiwezi kushusha bei kwa sasa"

$
0
0
KUSHUKA kwa bei ya mafuta katika soko la dunia hakujawapa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) unafuu wa kuwafanya washushe bei ya umeme.   Aidha, serikali imesema haifumbii macho suala hilo na imeziagiza Mamlaka husika za Tanesco na Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA), kuangalia inapotokea fursa, ili iweze kwenda kwa wananchi.   Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>