Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wafanyabishara Mwanza waazimia kugoma siku za kesi ya Mwenyekiti wao

$
0
0
Siku chache baada ya mwenyekiti wa jumuiya ya wafanyabiashara Tanzania Johnson Minja kufikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi wilaya ya Dodoma akikabiliwa na kesi ya kudaiwa kushawishi wafanyabiashara kutenda kosa la jinai la kutolipa kodi na kudaiwa kuzuia ukusanyaji wa kodi kwa kutumia mashine za kodi za kielektroniki (EFD’s ), wafanyabiashara wa kati na wadogo zaidi ya 600 wenye

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>