Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

GK asema Diva ndiye mpenzi wake bora kuliko wote aliowahi kuwa nao

Rapper wa East Coast Team, King Crazy GK amefunguka na kuweka wazi uhusiano wake wa kimapenzi na mwanadada Diva Loveness Love. Akizungumza na kipindi cha Mkasi kupitia EATV Jumatatu (Jan.12), GK...

View Article


T-Pain wa Marekani kuja Tanzania mwezi ujao, kutumbuiza na Diamond kwenye...

Mfalme wa Auto-Tune, T-Pain kutoka Marekani anatarajia kuja Tanzania mwezi ujao na kutumbuiza jijini Mwanza, kwenye tamasha la uzinduzi wa radio mpya iitwayo Jembe Fm ya jijini humo. T-Pain ambaye...

View Article


Mtu ahack namba ya simu ya AY, awaomba mamilioni watu wake wa karibu

Mtu asiyejulikana amehack namba ya Tigo ya AY na kuanza kuwaomba mamilioni watu wake wa karibu. AY ambaye kwa sasa yupo jijini Nairobi, Kenya, amesema kuwa anashangaa kugundua kuwa namba yake ya simu...

View Article

Kundi la Bracket lakanusha uvumi uliosambaa Nigeria kuwa wao ni mashoga

Members wa kundi la Bracket ambao hivi karibuni wamemshirikisha staa wa Tanzania, Diamond Platnumz kwenye wimbo wao mpya, wamekanusha uvumi uliosambaa Nigeria kuwa wao ni mashoga. Kwa mujibu wa...

View Article

Picha: Wema Sepetu, Aunty Ezekiel na Shilole nao Wapokea Zawadi Kutoka Coca Cola

Hizi ni zawadi za vinywaji vya Coke vyenye majina ya watu mashughuri wa hapa bongo kutoka kampuni ya coca-cola.   Jana  waigizaji, Wema Sepetu, Aunty Ezekiel na Shilole  nao walipokea zawadi  za...

View Article


Jokate Akanusha Kutoka Kimapenzi na Millard Ayo

Mwanamitindo na mwigizaji, Jokate Mwegelo ameucho molea vilivyo uvumi uliozagaa kuwa ana uhusiano wa kimapenzi na mtangazaji Millard Ayo wa Clouds FM.   Uvumi huo ulianzia mitandaoni ambapo...

View Article

EAC yatimiza malengo iliyojiwekea 2014/2015

Katibu  Mkuu   wa  Jumuiya  ya  Afrika  Mashariki  Dkt  Richard  Sezbera  amesema  jumuiya  hiyo  imefanikiwa  kwa  kiasi  kikubwa   kukabiliana  na  changamoto   za  kisiasa, kiuchumi  na  kijamii...

View Article

Wanusurika kifo wakiiba saruji, Ngara

Zaidi ya watu 50 wamenusurika kifo katika ajali ya moto wakati wakijaribu kupora saruji kwenye gari la mizigo lililopasuka tairi moja ya mbele na kusababisha mlipuko mkubwa wa moto kwenye tenki la...

View Article


Polisi Mara yakamata watu 2 kwa wizi wa mtoto

Jeshi  la  polisi  mkoa   wa  Mara  kwa  kushirikiana  na   wenzao   wa  nchi  jirani   ya  Kenya wamefanikiwa   kuwakamata  watu  wawili   kwa  tuhuma   za   kumwiba   mtoto   Diana Meshack   mwenye...

View Article


Mfahamu kwa undani zaidi mwanadada ZARI wa Uganda aliyetibua penzi la WEMA na...

JINA Zari hivi sasa limekuwa jina maarufu katika masikio ya Watanzania, Afrika Mashariki na kwingineko hasa baada ya mwanadada huyo mfanyabiashara na mwanamuziki wa Uganda kuwa na urafiki na...

View Article

Rais Kikwete: Shutuma dhidi ya Tanzania na DRC ni za kupuuzwa

Tanzania imesema kuwa ni jambo la kusadikika na kufikirika tu kwa baadhi ya watu kudai kuwa haiko tayari kukabiliana na vikundi vya uasi na ugaidi (negative forces) vilivyobakia vikivuruga amani na...

View Article

‘Upelelezi kesi ya Shehe Farid haujakamilika’

UPELELEZI wa kesi ya ugaidi inayomkabili kiongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (Jumiki), Shekhe Farid Hadi Ahmed na wenzake bado haujakamilika.   Wakili Mkuu wa Serikali...

View Article

Wananchi wampongeza Rais kwa kufuta Ada

WANANCHI wa Zanzibar wameipongeza hotuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ya kufuta ada za shule kwa wanafunzi wa msingi Unguja na Pemba, ambapo itasaidia kuwawezesha wanafunzi...

View Article


Aua mke kwa rungu kwa tuhuma za wivu wa mapenzi.

WATU wawili wamekufa mkoani Singida katika matukio tofauti yaliyotokea hivi karibuni, likiwemo la mwanamke mmoja kupigwa na rungu na mumewe kutokana na kile kinachodhaniwa kuwa ni wivu wa mapenzi....

View Article

Je, Una Mwili Mwembamba au Umedhoofika kutokana na Maradhi?.....Bofya hapa...

Je  una  mwili  mwembamba  na  unataka  kuongeza  na  kunenepesha  mwili  wako ? Umedhoofika  kutokana  na  maradhi  mbalimbali  na  unataka  kurejesha  afya  yako  na  mwili  wako ? Unataka...

View Article


Mahakama yatoa siku saba hati ya Halima Mdee kurekebishwa

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imetoa siku saba kwa upande wa Jamhuri kufanya marekebisho ya hati ya mashitaka katika kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha), Halima Mdee...

View Article

Tanesco yakiri madudu kwenye ununuzi wa Luku

SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limekiri kuwa na tatizo la huduma ya ununuzi ya Luku na kuomba radhi kwa wateja wake.   Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Naibu Mkurugenzi...

View Article


Wapiga Ramli ( Waganga wa Jadi ) wapigwa marufuku kuokoa 'Albino'

Katika kukabilina na matukio ya mauaji na ukatwaji viungo vya watu wenye ulemavu wa ngozi 'Albinisim' ambayo yameanza tena kushika kasi mwishoni mwa mwaka jana serikali imepiga marufuku wapiga ramli...

View Article

SBL Yamzawadia mkazi wa Mbagala Limo Bajaji ya 5

Kampuni ya bia ya Serengeti Breweries leo imetoa zawadi ya Limo Bajaji kwa Bw. Mfaume Hassan Lwembe (43) ambaye ni dereva taxi na mkazi wa Mbagala katika kampeni yake inayoendelea ya “Tutoke na...

View Article

Baada ya Sakata la Escrow, Tibaijuka Anaswa Akiwa PEKU

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi aliyeondolewa ofisini hivi karibuni kutokana na sakata la Tegeta Escrow, Anna Tibaijuka, hivi karibuni amenaswa akiwatembelea watu wanaosadikiwa kuwa...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>