Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mtu ahack namba ya simu ya AY, awaomba mamilioni watu wake wa karibu

$
0
0
Mtu asiyejulikana amehack namba ya Tigo ya AY na kuanza kuwaomba mamilioni watu wake wa karibu. AY ambaye kwa sasa yupo jijini Nairobi, Kenya, amesema kuwa anashangaa kugundua kuwa namba yake ya simu inapatikana wakati chip anayo yeye na haipo kwenye simu. Fundi Frank ni miongoni mwa marafiki wa AY walioombwa fedha na mtu huyo Kuna mtu amehack namba yangu ya Tigo anaomba watu pesa —

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>