Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

SBL Yamzawadia mkazi wa Mbagala Limo Bajaji ya 5

$
0
0
Kampuni ya bia ya Serengeti Breweries leo imetoa zawadi ya Limo Bajaji kwa Bw. Mfaume Hassan Lwembe (43) ambaye ni dereva taxi na mkazi wa Mbagala katika kampeni yake inayoendelea ya “Tutoke na Serengeti”. Hii imetangazwa leo katika droo inayofanyika kila wiki makao makuu ya SBL yaliyopo Chang’ombe jijini Dar es Salaam chini ya usimamizi wa  PWC na bodi ya michezo ya bahati nasibu Tanzania.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>