Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wapiga Ramli ( Waganga wa Jadi ) wapigwa marufuku kuokoa 'Albino'

$
0
0
Katika kukabilina na matukio ya mauaji na ukatwaji viungo vya watu wenye ulemavu wa ngozi 'Albinisim' ambayo yameanza tena kushika kasi mwishoni mwa mwaka jana serikali imepiga marufuku wapiga ramli ikiwa ni pamoja na kuunda kikosi kazi kwa ajili ya operesheni maalum ya kuwasaka watuhumiwa.   Waziri wa mambo ya ndani ya nchi Mh Mathias Chikawe ameyasema hayo jijini Dar es Salaam

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>