Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

EAC yatimiza malengo iliyojiwekea 2014/2015

$
0
0
Katibu  Mkuu   wa  Jumuiya  ya  Afrika  Mashariki  Dkt  Richard  Sezbera  amesema  jumuiya  hiyo  imefanikiwa  kwa  kiasi  kikubwa   kukabiliana  na  changamoto   za  kisiasa, kiuchumi  na  kijamii  na  malengo  yaliyowekwa   yanaendelea  kufikiwa. Sezbera  amesema  pamoja   na  tatizo  la  uhaba  wa  fedha  linaoikabili  jumuiya  hiyo  imefanikiwa  kwa  kiasi  kikubwa   kukabiliana

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>