Lady Jaydee Aanika Kisa cha Kuachana na Gardner
Kwa mara ya kwanza, staa wa muziki wa Bongo Fleva, Judith Wambura Mbibo ‘Jide’ ameanika kisa cha kummwaga mumewe, Gardner Gabriel Habash ‘Kaptein’ akieleza mateso aliyokutana nayo kwenye ndoa yao....
View ArticleAskari wa JKT akutwa mferejini akiwa kalewa chakari .....Pombe Ilipozidi...
Katika hali isiyotegemewa askari mmoja wa jeshi la kujenga Taifa (JKT) anayesadikika kuwa ni wa kambi ya Mafinga wilaya ya Mufindi mkoani Iringa usiku wa jana amenusurika kuvuliwa nguo za jeshi...
View ArticleKumalizika kwa Sakata la "Escrow", waumini waliombea Taifa
Baada ya Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kumaliza mjadala wa sakata la Escrow, maelfu ya waumini wa madhehebu mbalimbali mkoani Arusha wamefanya ibada maalumu ya kuliombea taifa amani na pia...
View ArticleLeo ni Siku ya UKIMWI Duniani...Njombe Yaongoza kwa maambukizi
Ikiwa leo ni siku ya UKIMWI, Duniani ambapo Tanzania Kitaifa siku hiyo inafanyika Mkoani Njombe Juhudi za kupambana na maambukizi ya ukimwi mkoani humo zimezidi kushika kasi kutoka katika mashirika...
View ArticleZitto, Filikunjombe wadai waziri Lukuvi alitaka kuiba ripoti ya Escrow
Viongozi wa Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe na Deo Filikunjombe wamemtuhumu Waziri William Lukuvi kuwa alitaka kuiba ripoti ya kamati yao kuhusu uchotwaji wa Sh306 bilioni kutoka...
View ArticleSakata la Escrow: Siri ya Mizengo Pinda kunusurika yatajwa
Siri ya kunusurika kwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda katika sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow imebainika kuwa wajumbe wa Kamati ya Maridhiano walikubaliana kumwacha kutokana na kubakiza muda mfupi na...
View ArticleUsafi wa Wabunge Wahojiwa......Makinda Aonya Wala Rushwa, asema wakiswekwa...
SPIKA wa Bunge, Anne Makinda amewaambia wabunge kuwa vitendo vyao vya kukubali kurubuniwa kwa rushwa na baadhi ya wafanyabiashara, watajikuta wanakwenda ndani na Bunge halitawatetea. Akizungumza...
View ArticleJe, Una Mwili Mwembamba au Umedhoofika kutokana na Maradhi?.....Bofya hapa...
Je una mwili mwembamba na unataka kuongeza na kunenepesha mwili wako ? Umedhoofika kutokana na maradhi mbalimbali na unataka kurejesha afya yako na mwili wako ? Unataka...
View ArticleJe, unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume?? Unataka kuimarisha mishipa...
Neema Herbalist & Nutritional Foods Clinic ni wauzaji wa dawa mbalimbali za asili. Tunapenda kuwatangazia wateja wetu kuwa tunayo dawa nzuri ya asili inatibu na kuponyesha...
View ArticleEscrow yazamisha watatu Urais 2015
KASHFA ya uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 kwenye akaunti ya Tegeta Escrow, imewachafua viongozi watatu ambao walishaanza harakati za kuusaka urais kwa mwaka 2015. Baadhi ya viongozi hao ni...
View ArticleBaada ya Kutwaa Tuzo 3, Diamond kupiga Shoo Marekani
STAA wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' anataraji kufanya shoo ya nguvu Jumamosi ijayo ya Desemba 6, mwaka huu nchini Marekani. Diamond ambaye juzi usiku alikomba tuzo tatu za Channel O...
View ArticleMmiliki wa Mattei Logde Afariki Dunia katika Ajali ya Gari
Mmiliki wa Mattei Lodge iliyopo Area D mkoani Dodoma aliyefahamika kwa jina moja tu la Mattei amefariki dunia katika ajali ya gari jana Jumapili eneo la Pandembili, Kongwa. Chanzo cha ajali hiyo...
View ArticleRais Kikwete Amteua Profesa Asad kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za...
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Profesa Mussa Juma Assad kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG)....
View ArticleSerikali haitatoa msamaha kwa viongozi na watendaji walioshiriki katika...
Serikali imesisitiza kuwa haitakuwa na msamaha kwa viongozi na watendaji ambao wametajwa kwa namna moja au nyingine kushiriki katika uchotwaji wa mabilioni ya fedha...
View ArticleITV imeingia rasmi kwenye king'amuzi cha DSTV kwa chanel namba 293.
Hatimae kilio cha muda mrefu cha watazamaji na wapenzi wa ITV juu ya ITV kuingia kwenye king'amuzi cha DSTV kimesikika na sasa ITV imeingia rasmi kwenye king'amuzi hicho na itaonekana kwenye vifurushi...
View ArticleSerikali Kuunda Mfuko Maalum wa Kupambana na UKIMWI
Serikali ipo kwenye mchakato wa kukamilisha uundwaji wa mfuko maalumu wa UKIMWI (Trust Fund) kwa lengo la kuboresha huduma za UKIMWI zinazotolewa na pia kupunguza utegemezi wa wahisani na kuongeza...
View ArticleDiamond Platnumz Ashiriki Project ya Ebola
Nyota wa muziki Diamond Platnumz ambaye mwishoni mwa wiki ameweza kushinda tuzo tatu huko Afrika Kusini, amekuwa ni moja kati ya wasanii wakubwa Afrika walioshiriki katika project ya pamoja...
View ArticleAskari wa JWTZ amtendea ukatili wa Kutisha Bibi wa miaka 60
Bibi Mariam Abdallah, mwenye umrin wa miaka 60, mkazi wa Kijiji cha Mnanila, ambaye anadaiwa kushushiwa kipigo nyumbani kwake na Askari wa JWTZ,akiwa amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa...
View ArticleKigwangalla alia na viongozi wanaoshutumiwa kwa kashfa ya wizi wa Bilioni 321...
Tabia ya serikali kutochukua hatua kali za kisheria kwa baadhi ya viongozi wanaochukua mali za umma na kugawana kama karanga inawafanya wananchi kukosa imani ya serikali yao kuwa na hasira na pengine...
View ArticleMgonjwa Amuua Mwenzake Wodini......Polisi Wamtia Pingu, mganga mkuu adai hana...
Katika hali isiyo ya kawaida mgonjwa aliyelazwa katika Hospitali ya Mkoa ya Mount Meru, akisumbuliwa na maradhi ya mguu, Hashimu Mohammed Mollel (28), (pichani) mkazi wa Lemala, Arusha amemuua mgonjwa...
View Article