Serikali ipo kwenye mchakato wa kukamilisha uundwaji wa mfuko maalumu
wa UKIMWI (Trust Fund) kwa lengo la kuboresha huduma za UKIMWI
zinazotolewa na pia kupunguza utegemezi wa wahisani na kuongeza
kasi ya mapambano dhidi ya UKIMWI.
Akihutubia
umati wa wakazi wa mkoa wa Njombe na mikoa jirani katika maadhimisho ya
siku ya UKIMWI duniani iliyofanyika kitaifa mkoani njombe makamu
↧