Nyota wa muziki Diamond Platnumz ambaye mwishoni mwa wiki ameweza
kushinda tuzo tatu huko Afrika Kusini, amekuwa ni moja kati ya wasanii
wakubwa Afrika walioshiriki katika project ya pamoja inayokwenda kwa
jina We are the World Africa.
Kazi
hii kubwa imefanyika huko Afrika Kusini ikiwashirikisha pia mastaa
kutoka nchi nyingine za Afrika kama vile Banky W, Mafikizolo, Iyanya,
Don
↧