Bibi Mariam Abdallah, mwenye umrin wa miaka 60, mkazi wa Kijiji cha
Mnanila, ambaye anadaiwa kushushiwa kipigo nyumbani kwake na Askari wa
JWTZ,akiwa amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kigoma, Maweni
kwa matibabu.
Akielezea mkasa huo Mariam Abdallah alisema kuwa
Novemba 23 mwaka huu, majira ya saa tatu usiku, watu wanne waliokuwa
wamevalia sare za Jeshi la Wananchi wa
↧