Tabia
ya serikali kutochukua hatua kali za kisheria kwa baadhi ya viongozi
wanaochukua mali za umma na kugawana kama karanga inawafanya wananchi
kukosa imani ya serikali yao kuwa na hasira na pengine kusababisha
kutoweka kwa amani kwa kuwa hakuna mtu anayeweza kuvumilia shida wakati
anaona watu wachache wakigawana mali ya umma na kuendelea na nyadhifa
zao.
Mwenyekiti wa kamati ya
↧