Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Serikali haitatoa msamaha kwa viongozi na watendaji walioshiriki katika sakata la Tegeta Escrow.

$
0
0
Serikali  imesisitiza  kuwa   haitakuwa  na  msamaha   kwa   viongozi   na  watendaji   ambao   wametajwa    kwa   namna   moja   au  nyingine kushiriki   katika  uchotwaji   wa  mabilioni   ya  fedha  katika  akaunti   ya  Tegeta  Escrow   kitendo  ambacho   kimesababisha   serikali  kupoteza  mabilioni   ya  fedha  kama  kodi. Naibu   Waziri  wa  fedha Mh   Mwigulu  Nchemba  ambaye

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles