Serikali imesisitiza kuwa haitakuwa na msamaha kwa viongozi
na watendaji ambao wametajwa kwa namna moja au nyingine
kushiriki katika uchotwaji wa mabilioni ya fedha katika
akaunti ya Tegeta Escrow kitendo ambacho kimesababisha
serikali kupoteza mabilioni ya fedha kama kodi.
Naibu Waziri wa fedha Mh Mwigulu Nchemba ambaye
↧