TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Profesa Mussa Juma Assad kuwa
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).
Taarifa iliyotolewa leo, Jumatatu, Desemba Mosi, 2014 na Katibu Mkuu
Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, inasema kuwa uteuzi wa Bwana Assad
ulianza Novemba 5, mwaka huu, 2014.
Taarifa hiyo
↧