KASHFA ya uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 kwenye akaunti ya
Tegeta Escrow, imewachafua viongozi watatu ambao walishaanza harakati za
kuusaka urais kwa mwaka 2015.
Baadhi ya viongozi hao ni pamoja na Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Mbunge
wa Sengerema, William Ngeleja na Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya
Makazi, Profesa Anna Tibaijuka.
Kwa upande wa Pinda, ripoti ya
↧