Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Ikulu Yasema Itatekeleza Maazimio Ya Bunge Kwa Nguvu Kubwa....Yasubiri...

SIKU chache baada ya Bunge kuhitimisha mjadala wa uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 kwenye akaunti ya Tegeta Escrow na kupitisha maazimio nane ikiwa ni pamoja na kuwawajibisha watendaji na...

View Article


Zitto Kabwe: Kashfa nne mbaya zaidi ya Escrow zinakuja

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Kabwe Zitto amesema baada ya kukamilisha shughuli ya ufisadi wa Akaunti ya Tegeta Escrow ambayo Sh306 bilioni zilichotwa, kamati yake sasa...

View Article


Chadema Arusha Yapata Pigo

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepata pigo baada ya mapingamizi yake 155 kwa wagombea katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Jiji la Arusha kutupwa.   Mapingamizi hayo...

View Article

Wafugaji tisa wauawa Kisarawe

Mapigano makali yamezuka kati ya jamii mbili za wafugaji katika Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani na kusababisha vifo vya watu zaidi ya tisa.   Tukio hilo limetokea katika Kijiji cha Kihale, Tarafa ya...

View Article

Mvua Iliyonyesha Jijini Mwanza Yasababisha Mafuriko

Mvua kubwa iliyonyesha asubuhi ya leo jijini Mwanza, imesababisha mafuriko katika baadhi ya maeneo kama inavyoonekana pichani.   Baadhi ya wakazi wa jiji hilo hawana sehemu za kukaa baada ya maji...

View Article


Al Sabab Yaua Watu 36 Nchini Kenya

Takribani watu 36 wanahofiwa kufariki katika shambulio lililotokea kwenye machimbo ya kokoto karibu na mji wa Mandera kaskazini mwa Kenya. Shirika la Msalaba Mwekundu nchini Kenya limethibitisha....

View Article

Wakuu wa usalama watimuliwa Kenya

Rais Uhuru Kenyatta amemwachisha kazi waziri wa usalama Joseph Ole Lenku na kumpendekeza waziri mpya wa usalama Joseph Nkaiseri kuchukua nafasi hio.   Wakati huohuo mkuu wa polisi nchini Kenya...

View Article

Rais Kikwete Amuapisha CAG Mpya, Prof Musa Juma Assad Ikulu jijini Dar es salaam

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Musa Juma Assad Ikulu jijini Dar es salaam Novemba 02, 2014. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitia...

View Article


LHRC yasikitishwa na kauli ya Pinda

Kituo cha sheria na haki za binadamu kimesema kimesikitishwa na kauli aliyoitoa waziri mkuu Mh Mizengo Pinda bungeni wakati akiahirisha bunge kuwa hakuna uhakika kwamba fedha zilizokuwa katika akaunt...

View Article


Wagombea 68 CHADEMA Arumeru Mashariki wapingwa

Wagombea 68 wa nafasi mbalimbali za uongozi katika jimbo la Arumeru Mashariki kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wamewekewa pingamizi kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ya...

View Article

Mtunisi aendelea kusota ndani baada ya kumpiga mkewe

Msanii wa filamu, Mtunisi aliyepandishwa mahakamani Jumatatu iliyopita kutokana na shtaka la kumshambulia mke wake, ameendelea kukaa ndani baada ya kukataliwa dhamana kufuatia mkewe kuwa kwenye hali...

View Article

Mdogo wake na Zari aponda uhusiano wake na Diamond, Zari asisitiza ni...

Mdogo wake na Zari Hassan aka The Bosslady, aitwaye Karim ametumia Facebook kumkosoa dada yake kwa kuwa na uhusiano na Diamond Platnumz ambaye anamzidi miaka 9. Kwenye post hiyo, Karim aliandika: You...

View Article

Diamond: Nilivyofika Nigeria nilikuwa najiona kama mkiwa, siwaoni wasanii...

Baada ya Diamond Platnumz kutua jijini Dar es salaam December 2 akitokea Afrika Kusini akiwa na tuzo zake 3 za Channel O, alikutana na wadau, mashabiki pamoja na waandishi pale Escape 1 kuzungumzia...

View Article


Korea Kaskazini yaishutumu US kusambaza Ebola na kutumia Afrika kama sehemu...

Koreas Kaskazini imeishutumu Marekani kwa kusambaza makusudi virusi vya ugonjwa wa Ebola na kwamba inatengeneza silaha hiyo ya kibailojia ili kuwa taifa lenye nguvu zaidi duniani.   Taifa hilo...

View Article

Mtoto afa kwa kunyongwa na baba wa kambo Morogoro

Mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja mkazi wa kijiji cha Kindo wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro amefariki dunia baada ya kunyongwa na baba yake wa kambo kufuatia migogoro ya kifamilia kati yake na mkewe....

View Article


Shirika la kazi la Umoja wa Mataifa (ILO) Lasema Tanzania inaongoza kwa watu...

Shirika la kazi la umoja wa mataifa (ILO) limesema pamoja na Tanzania kuwa na mikakati mingi ya kutaka kuwakwamua wananchi wake na Lindi la umaskini itakuwa vigumu kufikiwa kwa lengo hilo kutokana na...

View Article

Mmiliki wa IPTL atema cheche....Asema anafikiria mara mbilimbili kuendelea...

Mmiliki wa Kampuni ya Kufua Umeme ya IPTL, Habirnder Seth Singh amesema anafikiria mara mbilimbili iwapo aendelee kuwekeza nchini au la, baada ya kuwapo kwa tuhuma kwamba alihusika na uchotaji wa...

View Article


Vigogo CHADEMA waburutwa kortini

Jeshi la Polisi mkoani Simiyu linawashikilia wanachama tisa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA wilayani Meatu wakiongozwa na Mwenyekiti wa mkoa wa chama hicho kwa madai ya kufanya vurugu na...

View Article

TRA yazuiwa kufuta hati za malipo ya kodi ya IPTL

Bodi ya Rufani za Kodi (TRAB), imetoa amri ya zuio la muda kwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuhusu kusudio lake la kufuta hati ya malipo ya kodi iliyotokana na uuzwaji wa hisa za...

View Article

UKAWA Yavunjika vipande vipande Mkoani Arusha baada ya vyama vinavyounda...

VYAMA vinne vya upinzani vilivyoungana na kuunda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) vimeshindwa kuachiana nafasi za uongozi mkoani Arusha, katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>