Mdogo wake na Zari Hassan aka The Bosslady, aitwaye Karim ametumia
Facebook kumkosoa dada yake kwa kuwa na uhusiano na Diamond Platnumz
ambaye anamzidi miaka 9.
Kwenye post hiyo, Karim aliandika: You are ashaming us, how can you date a boy my age. You moved from one man to another in less than 3 days.”
Akitumia akaunti yake binafsi ya Facebook yenye jina ‘Zarinah Tlale’,
kujibu
↧