Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mtunisi aendelea kusota ndani baada ya kumpiga mkewe

$
0
0
Msanii wa filamu, Mtunisi aliyepandishwa mahakamani Jumatatu iliyopita kutokana na shtaka la kumshambulia mke wake, ameendelea kukaa ndani baada ya kukataliwa dhamana kufuatia mkewe kuwa kwenye hali mbaya. Akizungumza na Mpekuzi, muigizaji mwenzake, Batulli amesema wanashindwa kuingilia suala hilo moja kwa moja kwa sababu limekaa kifamilia zaidi.   “Tunafuatilia lakini unajua

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>