Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mmiliki wa IPTL atema cheche....Asema anafikiria mara mbilimbili kuendelea kuwekeza nchini

$
0
0
Mmiliki wa Kampuni ya Kufua Umeme ya IPTL, Habirnder Seth Singh amesema anafikiria mara mbilimbili iwapo aendelee kuwekeza nchini au la, baada ya kuwapo kwa tuhuma kwamba alihusika na uchotaji wa fedha katika Akaunti ya Tegeta Escrow katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT).   “Nimeongelewa sana kiasi kwamba naona kama hakuna hata amani ya kuwekeza Tanzania, nitajifikiria mara mbili mbili.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles