Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mtoto afa kwa kunyongwa na baba wa kambo Morogoro

$
0
0
Mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja mkazi wa kijiji cha Kindo wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro amefariki dunia baada ya kunyongwa na baba yake wa kambo kufuatia migogoro ya kifamilia kati yake na mkewe.   Kamanda wa polisi mkoa wa Morogoro Leonard Paul amesema mtoto Abdallah Hamis amenyongwa na baba yake wa kambo Zamili Shabani (27) muda mfupi baada ya mama wa mtoto kwenda dukani

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>