Rais Uhuru Kenyatta amemwachisha
kazi waziri wa usalama Joseph Ole Lenku na kumpendekeza waziri mpya wa
usalama Joseph Nkaiseri kuchukua nafasi hio.
Wakati huohuo mkuu wa
polisi nchini Kenya inspekta generali David Kimaiyo amejiuzulu kutokana
na shinikizo dhidi yake afanye hivyo kwa kushindwa kukabiliana na utovu
wa usalama nchini.
Rais Kenyatta alisema kuwa baada ya mazungumzo
↧