Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wafugaji tisa wauawa Kisarawe

$
0
0
Mapigano makali yamezuka kati ya jamii mbili za wafugaji katika Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani na kusababisha vifo vya watu zaidi ya tisa.   Tukio hilo limetokea katika Kijiji cha Kihale, Tarafa ya Chole wilayani Kisarawe na yamehusisha jamii mbili za wafugaji wa kabila la Wasukuma na Wabarbaig ‘Mang’ati’.   Hata hivyo, imeelezwa kuwa ni miili ya wafugaji watano tu ndiyo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>